Siku ya Kwanza Gym? Fanya hivi…

Siku ya Kwanza Gym? Fanya hivi…

Matokeo ya picha ya gym

Watu wengi hupenda kuingia gym lakini kinachowatatiza ni wanaanzia wapi na wataishia wapi.
Hakuna kitu kinakera kama ukiwa unaendelea na zoezi anatokea mtu anakwambia “Dah jamaa mbona umemix kachumbari? Hapo ushafuta.”

Watu wengi tunaoanza gym, au ukipita muda mkubwa hatujaingia siku tukiingia hua tunaanza na kifua (sijui kwanini? Labda kuna mdau atatoa sababu kwenye koment).
Hivyo nitaongelea zoezi la kifua linavyotakiwa kufanywa kwa kadri ninavyojua.

Kanuni ni hii;
-Chagua uzito ambao ukimaliza kuupandisha na kuushusha kuanzia rep ya nane mpaka ya kumi uwe unakuchallenge, siyo unaushindwa kabisa.
-Kila zoezi litakua na seti nne (aliye advanced huenda mpaka sita).
-Kila seti utafanya reps kumi (au zaidi kama gym haina uzito wa kukuchallenge ipasavyo).
-Pumzika kwa sekunde 30 kama upo na partner basi kuanza na kumaliza kwake ndiyo kupumzika kwako.

Na Tuanze.

Kujivuta.
Hii ni aina ya warm up, unaanza nayo mara unapoingia gym. Binafsi hua nafanya seti nne kwa kichwa kupita nyuma ya bar na seti nne kichwa kupita mbele ya bar, na kila seti hua ina reps kumi.

Matokeo ya picha ya pull up gym


Kama hauna mazoezi kabisa fuatisha kufanya kama huu mchoro unavyoonesha. Utaamua kupunguza seti na reps kadri unavyojiona unaweza.

Kuvijuta kwa Mashine.
Disclaimer.
Zoezi hili huhesabiwa ni kwa ajili ya mgongo.

Matokeo ya picha ya pull over gym

Hapa utakaa kwenye hii mashine na kujivuta kama tulivyoelekezana hapo juu, binafsi hua naona hii ni version nyepesi ya kujivuta.


Flat Bench.
Gym za uswazi hua tunaita benchi la kawaida, labda ni kwa kua hatujui kiswahili chake.


Benchi litakalotumika hapa litakua kama lile tunalolitumia kijiweni tukiwa tunapiga stori, litakua liko tambarare kama ubao.
Utafanya zoezi hili kwa seti nne, kila seti moja itakua na reps 8 au 10 (kutegemea na unavyotaka kua challenged).
Mikono utaitanua kama kwenye picha inavyoonekana. Hapa utakua unakinyanyua kifua kizima.

Benchi la Kuinuka.
Hapa benchi litakua limeinuka kiasi kwamba ukiliegemea unakua upo kwenye angle ya degree 180. Gym wanaliita incline, sijajua kiswahili chake kizuri.
Utafanya zoezi hili kwa seti nne, kila seti moja itakua na reps 8 au 10 (kutegemea na unavyotaka kua challenged).

Matokeo ya picha ya incline bench press


Hapa tunakua tunauleta ule mstari ambao huwa kati kati ya ziwa moja na jingine.

Benchi la Kuinama.
Hili benchi gym zingine huliita slope bench na zingine huita decline bench. Katika mazoezi yote ya kifua hili ndiyo jepesi (komenti ‘ni kweli’ kama unakubaliana na mimi).

Matokeo ya picha ya slope bench gym exercise


Utafanya zoezi hili kwa seti nne, kila seti moja itakua na reps 8 au 10 (kutegemea na unavyotaka kua challenged).
Hapa tunafanya kifua kiwe na shepu kama ya gamba la kobe.

Dips.
Siyo gym zote zina eneo la kufanya dips hivyo kama hauoni, muulize mtu yeyote akuoneshe wanafanyia wapi. Pia usishangae mwenzako akitamka ‘Deep C’.
Utafanya zoezi hili kwa seti nne, kila seti moja itakua na reps 8 au 10 (kutegemea na unavyotaka kua challenged).

Matokeo ya picha ya dips workout


Hapa tunakua tunaconcentrate pressure kwenye kifua na triceps, hivyo tunakua tunakiimarisha kifua.

Centre Bench Press.
Inakua kama Katika lile benchi la kwanza (flat) ila hapa mikono yako itasogeleana, usawa wa mabega yako au ndani zaidi. Hii ndani zaidi kuna ndugu yangu aliniambia ni zoezi la triceps hivyo ni vyema niwe naweka umbali usawa wa mabega.

Matokeo ya picha ya Centre Bench Press


Utafanya zoezi hili kwa seti nne, kila seti moja itakua na reps 8 au 10 (kutegemea na unavyotaka kua challenged).
Ile njia tuliyoitengeneza kwenye incline bench hapa inakua inaimarishwa pia ni kweli triceps utaisikia ikiitika.

Pull over.
Katika gym ambayo dumbbells hazipo za kutosha unaweza ukaweka mzigo wa kukutosha kwenye bar na kufanya kama hapo kwenye picha.
Utafanya zoezi hili kwa seti nne, kila seti moja itakua na reps 8 au 10 (kutegemea na unavyotaka kua challenged).
Hapa tunatengeneza nguvu za mwili mzima, lakini pia tunatengeneza V shape ili kifua kikae kinapotakiwa.

NB.
-Hii routine inafaa kote kwa gym ambazo zimekamilika na ambazo hazijakamilika kwa kila kitu.
-Bar ni fimbo ya chuma ambayo huwekewa uzito.
-Kama ni mara yako ya kwanza gym, consider kukata baadhi ya mazoezi hapo, haswa hiyo incline, pull over na dips. Kama kujivuta kunakushinda kabisa kwa sasa jivute kwenye mashine.
-Natumia uzoefu na kujifunza kwa wengine, sijasomea, ushauri wangu siyo wa kidaktari.


Niachie maoni yako hapo chini mimi ndio naanza kujifunza baadhi ya maandishi ni kutokana na msaada wa forums na site mbalimbali za workout.

Pics zote zimetolewa mtandaoni

Aina za Push-Ups—na Jinsi Zinavyokusaidia
BMI Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Aina za Push-Ups—na Jinsi Zinavyokusaidia

Aina za Push-Ups—na Jinsi Zinavyokusaidia. Pushup ni mojawapo ya mazoezi makubwa zaidi ya hali ya jumla kwa mwanariadha, na unaweza...
Read More
Kwanini Usimnyamazishe Mtu Akilia, Na Nini Faida Ya Kulia?
Uncategorized

Kwanini Usimnyamazishe Mtu Akilia, Na Nini Faida Ya Kulia?

Kwanini Usimnyamazishe Mtu Akilia, Na Nini Faida Ya Kulia? Kulia ni hisia za kuelezea vile mtu anavyojisikia. Ni hisia ambazo...
Read More
Lishe Bora Na Diet Ni nini?
BMI Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Lishe Bora Na Diet Ni nini?

Lishe bora ni nini? Lishe bora ni mjumuisho wa vyakula vya aina tofauti tofauti ambavyo huupa mwili wako virutubishi vinavyohitajika...
Read More
Aina za Protini za poda za Kujenga Misuli
BMI Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Aina za Protini za poda za Kujenga Misuli

Aina za Protini za poda za Kujenga Misuli Poda za protini zimekuwa na manufaa makubwa sana hasa kwa wanariadha ,washindani...
Read More
Kalori Tupu
kupungua uzito

Kalori Tupu

Kalori Tupu ni nini? Kalori tupu ni zile zinazotoa nishati lakini thamani yake ya lishe au virutubishi ni vya kiwango...
Read More
Athari za matumizi ya pombe kiafya
BMI Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Athari za matumizi ya pombe kiafya

Athari za matumizi ya pombe kiafya. Madhara ya pombe hutofautiana kati ya mtu na mtu. Ingawa watu wengine wanaweza kupunguza...
Read More
Kwa nini Wanaume  Hupunguza Uzito haraka?
kupungua uzito Mazoezi

Kwa nini Wanaume  Hupunguza Uzito haraka?

Kwa nini Wanaume  Hupunguza Uzito haraka sana? Ingawa inaonekana kwamba wanaume huwa na kupoteza uzito haraka zaidi kuliko wanawake, hii...
Read More
Je,Usingizi Ni Muhimu Kiasi Gani Kwa Afya na Tunahitaji Kwa Kiasi Gani?
Chakula Kujenga Mwili

Je,Usingizi Ni Muhimu Kiasi Gani Kwa Afya na Tunahitaji Kwa Kiasi Gani?

Je,Usingizi Unaumuhimu gani Kwa Afya na Tunahitaji Kwa Kiasi gani? Utafiti wa kisayansi unaonyesha wazi kwamba usingizi ni muhimu katika...
Read More
Aina Za Vyakula Vinavyo Ongeza Uzito Haraka
Chakula Kujenga Mwili kupungua uzito

Aina Za Vyakula Vinavyo Ongeza Uzito Haraka

Aina Za Vyakula Vinavyo Ongeza Uzito Haraka Baadhi ya watu wengi hupata ugumu sana kuongeza uzito, sawa na wale wanao...
Read More
Je, Ni Nini Husababisha Uzito Kubadilika Mara Kwa Mara?
Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Je, Ni Nini Husababisha Uzito Kubadilika Mara Kwa Mara?

Je, Ni vitu gani vinasababisha uzito kubadilika mara kwa mara? Ni kitu cha kushangaza lakini ndo ukweli, mara nyingi kama...
Read More
Jinsi Ya Kufanya Zoezi La (Wheel pose) Na Umuhimu Wake.
Kujenga Mwili kupungua uzito

Jinsi Ya Kufanya Zoezi La (Wheel pose) Na Umuhimu Wake.

Jinsi ya kufanya zoezi la Wheel pose katika yoga  Je, Wheel poseni nini?  Wheel Pose ni mkao wa yoga ambaya...
Read More
Makosa 8 yanayo fanywa zaidi na mtu anae anza mazoezi ya GYM
Kujenga Mwili kupungua uzito

Makosa 8 yanayo fanywa zaidi na mtu anae anza mazoezi ya GYM

Makosa 8 yanayo fanywa zaidi na mtu anae anza mazoezi ya GYM Unapo anza safari yako ya kujenga misuli kwa...
Read More
Je? Gramu ngapi za Mafuta – Unapaswa Kula Kwa Siku?
Chakula

Je? Gramu ngapi za Mafuta – Unapaswa Kula Kwa Siku?

Je? Gramu ngapi za Mafuta - Unapaswa Kula Kwa Siku? Mafuta ni sehemu muhimu ya mlo wako, lakini kufikiri ni...
Read More
Fahamu mbinu za kukwepa vibaka
Kujikinga Uncategorized

Fahamu mbinu za kukwepa vibaka

Ukiwa kama mtembezi wa usiku unakua unajihatarisha kukutana na vibaka (siyo majambazi) lakini kuishi kwangu maeneo mbali mbali sijawahi kukabwa...
Read More
Je! Unapaswa Kula Kalori Ngapi Kwa Siku Ili Kupunguza Uzito?
Uncategorized

Je! Unapaswa Kula Kalori Ngapi Kwa Siku Ili Kupunguza Uzito?

https://youtu.be/RcxdLwC-reg Kalori ni nini?  Kwa ufupi, kalori ni kitengo kinachopima nishati. Kalori hutumiwa kupima maudhui ya nishati ya vyakula na...
Read More
Jinsi Ya Kufanya Mazoezi Ya Body Balance
Uncategorized

Jinsi Ya Kufanya Mazoezi Ya Body Balance

https://www.youtube.com/watch?v=iE8k-i0X9Xk&t=1s Jinsi Ya Kufanya Mazoezi Ya Body Balance Mazoezi ya Body balance yanasaidia sana katika msawaziko wa mwili na katika...
Read More
Aina (4) Za Mazoezi Ya Kuzuia Maumivu Ya Hedhi
Uncategorized

Aina (4) Za Mazoezi Ya Kuzuia Maumivu Ya Hedhi

https://www.youtube.com/watch?v=qQiuay9fzAQ&t=1s Aina (4) Za Mazoezi Ya Kuzuia Maumivu Ya Hedhi Maumivu ya hedhi ni tatizo kubwa kwa wanawake wengi, hivyo...
Read More
Jinsi Ya Kufanya Zoezi La Squat
Uncategorized

Jinsi Ya Kufanya Zoezi La Squat

https://www.youtube.com/watch?v=66VqjncGw0o Jinsi Ya Kufanya Zoezi La Squat Japo kuwa Squat ni zoezi zuri sana, lakini ukilikosea linaweza kukupa madhara badala...
Read More
Jinsi Ya Kutumia Tairi Katika Kujenga Mwili Wako
Kujenga Mwili

Jinsi Ya Kutumia Tairi Katika Kujenga Mwili Wako

https://www.youtube.com/watch?v=BoHY7B4M_EE Jinsi Ya Kutumia Tairi Katika Kujenga Mwili Wako Tairi ni moja ya nyenzo muhimu sana itakayo kusaidia katika mazoezi...
Read More
Vyakula Bora Kwa Kutibu Shinikizo La Damu 
kupungua uzito

Vyakula Bora Kwa Kutibu Shinikizo La Damu 

https://www.youtube.com/watch?v=QDu-HMqozgA&t=1s Kubadilisha lishe kunaweza kupunguza kwa kiasi kikubwa shinikizo la damu. Utafiti umeonyesha kuwa vyakula fulani vinaweza kupunguza shinikizo la...
Read More
Load More

Aina za Push-Ups—na Jinsi Zinavyokusaidia
BMI Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Aina za Push-Ups—na Jinsi Zinavyokusaidia

Kwanini Usimnyamazishe Mtu Akilia, Na Nini Faida Ya Kulia?
Uncategorized

Kwanini Usimnyamazishe Mtu Akilia, Na Nini Faida Ya Kulia?

Lishe Bora Na Diet Ni nini?
BMI Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Lishe Bora Na Diet Ni nini?

Aina za Protini za poda za Kujenga Misuli
BMI Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Aina za Protini za poda za Kujenga Misuli

Kalori Tupu
kupungua uzito

Kalori Tupu

Athari za matumizi ya pombe kiafya
BMI Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Athari za matumizi ya pombe kiafya

Kwa nini Wanaume  Hupunguza Uzito haraka?
kupungua uzito Mazoezi

Kwa nini Wanaume  Hupunguza Uzito haraka?

Je,Usingizi Ni Muhimu Kiasi Gani Kwa Afya na Tunahitaji Kwa Kiasi Gani?
Chakula Kujenga Mwili

Je,Usingizi Ni Muhimu Kiasi Gani Kwa Afya na Tunahitaji Kwa Kiasi Gani?

Aina Za Vyakula Vinavyo Ongeza Uzito Haraka
Chakula Kujenga Mwili kupungua uzito

Aina Za Vyakula Vinavyo Ongeza Uzito Haraka

Je, Ni Nini Husababisha Uzito Kubadilika Mara Kwa Mara?
Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Je, Ni Nini Husababisha Uzito Kubadilika Mara Kwa Mara?

Jinsi Ya Kufanya Zoezi La (Wheel pose) Na Umuhimu Wake.
Kujenga Mwili kupungua uzito

Jinsi Ya Kufanya Zoezi La (Wheel pose) Na Umuhimu Wake.

Makosa 8 yanayo fanywa zaidi na mtu anae anza mazoezi ya GYM
Kujenga Mwili kupungua uzito

Makosa 8 yanayo fanywa zaidi na mtu anae anza mazoezi ya GYM

Je? Gramu ngapi za Mafuta – Unapaswa Kula Kwa Siku?
Chakula

Je? Gramu ngapi za Mafuta – Unapaswa Kula Kwa Siku?

Fahamu mbinu za kukwepa vibaka
Kujikinga Uncategorized

Fahamu mbinu za kukwepa vibaka

Je! Unapaswa Kula Kalori Ngapi Kwa Siku Ili Kupunguza Uzito?
Uncategorized

Je! Unapaswa Kula Kalori Ngapi Kwa Siku Ili Kupunguza Uzito?

Jinsi Ya Kufanya Mazoezi Ya Body Balance
Uncategorized

Jinsi Ya Kufanya Mazoezi Ya Body Balance

Aina (4) Za Mazoezi Ya Kuzuia Maumivu Ya Hedhi
Uncategorized

Aina (4) Za Mazoezi Ya Kuzuia Maumivu Ya Hedhi

Jinsi Ya Kufanya Zoezi La Squat
Uncategorized

Jinsi Ya Kufanya Zoezi La Squat

Jinsi Ya Kutumia Tairi Katika Kujenga Mwili Wako
Kujenga Mwili

Jinsi Ya Kutumia Tairi Katika Kujenga Mwili Wako

Vyakula Bora Kwa Kutibu Shinikizo La Damu 
kupungua uzito

Vyakula Bora Kwa Kutibu Shinikizo La Damu