Kwanini Usimnyamazishe Mtu Akilia, Na Nini Faida Ya Kulia?

Kwanini Usimnyamazishe Mtu Akilia, Na Nini Faida Ya Kulia?

Kulia ni hisia za kuelezea vile mtu anavyojisikia. Ni hisia ambazo mtu amashindwa kuzielezea kwa maneno au mdomo, Nazani mnajua watoto wachanga huwa wanatumia njia ya kulia wakihitaji kitu na hata watoto wanaoweza kuongea huwa wanatumia njia ya kulia zaidi pale wanaposhindwa kuelezea hisia zao.

Kulia ni njia ya kuelezea hisia zisioelezeka zinaweza kuwa hisia za maumivu, huzuni, hasira, furaha, Raha, wasiwasi, uoga au Kupoteza tumaini.

KWA NINI TUSIMNYAMAZISHE MTU AKILIA?


Kawaida tunapokuwa watu wazima huwa akili zetu zimekomaa zaidi na tunaweza kuelezea hisia zetu zaidi bila kulia, Watu wazima hilia pale wanapopatwa na matukio makubwa kama msiba au wakati wa burudani za usiku….😃.

Lakini mtu kulia kwa mambo mengine kama vile kukataliwa, kupoteza kitu nk, huonekana sio ya maana kwenye Jamii zetu za kiafrica na watu wengi hukimbilia kumnyamazisha mtu akilia sio tu kwenye mambo madogo hata makubwa kama vile msiba bado watu humwambia mfiwa asilie sana..

Kulia ni njia nzuri ya kuwakilisha hisia zako na ina faida nzuri ya kimwili na kiakili, kulia husaidia kuondoa maumivu ya hisia au kuwakilisha maumivu au furaha yako. Na haitakiwi kumzui mtu kulia maana unazui asiweze kuwashilisha hisia zake.

MADHARA YA KUNYAMAZISHWA KULIA


Wanaume ni wahanga wakubwa wa kunyamazishwa kulia kwenye jamii zetu, kulia lia huonekana ni udhaifu kwa mwanaume, wanawake wao wana nafuu maana huonekana wadhaifu na kulia lia kwao si jambo la kuchekwa. Wanaume wengi hulia kwa kujificha ili wasichekwe. Lakini madhara ya kuzuia hisia za kulia ni makubwa kama vile.

1.Kutojali hisia za wengine.


Mtu anayezuiwa kuelezea hisia zake nae hawezi kujali hisia za wengine mfano watoto wa kiume huazwa kuambiwa wasilie lie kama wa kike. Kupuuzwa hisia zao kunawafanya na wao wapuuze hisia za wengine. Wanaume honekana watu wasiojali hisia hasa za wanawake na watoto kwa sababu na wao hisia zao nimepuuzwa na jamii, wanaume hushindwa kuelewa kwa nini wanawake wanalia lia na kulalamika na pia hushindwa kuwanyamazisha watoto pale wanapolia.

2.Kuwa wakorofi, wakatili na wagomvi


Mtu anayezuiwa kuelezea hisia zake hasa za maumivu kuwa anaweza kutumia mkorofi, ukatili na mgonvi kwa sababu hushindwa kuongea na kuwakilisha hisia zao hivyo kutumia nguvu, hasira, ugomvi, vurugu na ukatili kama njia ya kuwakilisha hisia zao za maumivu. Nazani mnaweza kuona wanaume wakijihushisha na vurugu, ukatili na ugonvi wa kutumia siraha kuliko wanaume. Japokuwa hali hii ya ukorofi wa wanaume inaweza kuchangiwa na homoni zao za kiume lakini kwa kiasi kikubwa kupuunzwa hisia zao huwafanya wawe hivi, hali hii si kawanaume pekee hata wanawake wapo ila sio kwa kiasi kikubwa kama wanume kutokana na malezi.

3.kupata matatizo ya kiafya

Kuzuia hisia za kulia kunaweza kusabisha mataizo ya afya ya akili na mwili, kama vile sonona(depression), matatizo ya moyo, upungufu wa kinga mwili na kuchanganyikiwa akilli.

JE UFANYAJE MTU ANAPOLIA?

Mtu anapilia unatakiwa ujue sababu ya yeye kulia kwanza ndipo utajua njia ya kumsaidia

1.Kulia kwa maumivu, huzuni, wasiwasi, woga

Mtu anapokuwa analia kwa maumivu, huzuni, wasiwasi, woga unatakiwa kimfariji, kumtia moyo na kumbembela. Unaweza kumsogeea karibu, kumshika au hata kumkumbatia huku ukimpa maneno ya faraja. Aina hii ya kulia ni kama pale mtu amefiwa, anaumwa, amaeachwa etc. Endapo mtu huyu atakuwa analia huku anaongea basi ni viruzi kuonyesha unamjali kwa kumsikiliza bila kumuuliza maswali mengi.

2. Kulia kwa furaha

Mtu akiwa nalia kwa furaha na raha ni vizuri na wewe kuonyesha furaha yako, unaweza kumsogelea, kumshika na hata kumkumbatia ili kounyesha umejali hisia zake

3. Kulia kwa hasira na uchungu

Mtu anapokuwa analia kwa hasira na uchungu ni vizuri kutomsigolea karibu wala kujaribu kumuongelesha, mpe nafasi atulia na kutuliza hasira zake na uchungu wake kwanza.

4. Wasikilize watoto pale wanapokuwa wanalia

Watoto ni watu amabao hawajakomaa akili na wanapata shida kuelezea hisia zao, hivyo mtoto awe mdogo au mkubwa ni vizuri kuwasiliza pale wanapokuwa wanalia lia bila sababu, kuna ujumbe huwa wanatoa, muulize mtoto sababu ya kulia badala ya kumchapa na kumnyamazisha .

Tuishie hapo kwa leo

Asante endelea kufuatilia kurasa zetu na subscribe Channel Yetu Ya Youtube tiztu kwa habari na video zote zinazohusu Afya ,chakula na mazoezi.

Jiunge Na Programu za mazoezi na chakula

TAZAMA VIDEO KUJIFUNZA ZAIDI

Aina za Push-Ups—na Jinsi Zinavyokusaidia
BMI Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Aina za Push-Ups—na Jinsi Zinavyokusaidia

Kwanini Usimnyamazishe Mtu Akilia, Na Nini Faida Ya Kulia?
Uncategorized

Kwanini Usimnyamazishe Mtu Akilia, Na Nini Faida Ya Kulia?

Lishe Bora Na Diet Ni nini?
BMI Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Lishe Bora Na Diet Ni nini?

Aina za Protini za poda za Kujenga Misuli
BMI Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Aina za Protini za poda za Kujenga Misuli

Kalori Tupu
kupungua uzito

Kalori Tupu

Athari za matumizi ya pombe kiafya
BMI Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Athari za matumizi ya pombe kiafya

Kwa nini Wanaume  Hupunguza Uzito haraka?
kupungua uzito Mazoezi

Kwa nini Wanaume  Hupunguza Uzito haraka?

Je,Usingizi Ni Muhimu Kiasi Gani Kwa Afya na Tunahitaji Kwa Kiasi Gani?
Chakula Kujenga Mwili

Je,Usingizi Ni Muhimu Kiasi Gani Kwa Afya na Tunahitaji Kwa Kiasi Gani?

Aina Za Vyakula Vinavyo Ongeza Uzito Haraka
Chakula Kujenga Mwili kupungua uzito

Aina Za Vyakula Vinavyo Ongeza Uzito Haraka

Je, Ni Nini Husababisha Uzito Kubadilika Mara Kwa Mara?
Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Je, Ni Nini Husababisha Uzito Kubadilika Mara Kwa Mara?

Jinsi Ya Kufanya Zoezi La (Wheel pose) Na Umuhimu Wake.
Kujenga Mwili kupungua uzito

Jinsi Ya Kufanya Zoezi La (Wheel pose) Na Umuhimu Wake.

Makosa 8 yanayo fanywa zaidi na mtu anae anza mazoezi ya GYM
Kujenga Mwili kupungua uzito

Makosa 8 yanayo fanywa zaidi na mtu anae anza mazoezi ya GYM

Je? Gramu ngapi za Mafuta – Unapaswa Kula Kwa Siku?
Chakula

Je? Gramu ngapi za Mafuta – Unapaswa Kula Kwa Siku?

Fahamu mbinu za kukwepa vibaka
Kujikinga Uncategorized

Fahamu mbinu za kukwepa vibaka

Je! Unapaswa Kula Kalori Ngapi Kwa Siku Ili Kupunguza Uzito?
Uncategorized

Je! Unapaswa Kula Kalori Ngapi Kwa Siku Ili Kupunguza Uzito?

Jinsi Ya Kufanya Mazoezi Ya Body Balance
Uncategorized

Jinsi Ya Kufanya Mazoezi Ya Body Balance

Aina (4) Za Mazoezi Ya Kuzuia Maumivu Ya Hedhi
Uncategorized

Aina (4) Za Mazoezi Ya Kuzuia Maumivu Ya Hedhi

Jinsi Ya Kufanya Zoezi La Squat
Uncategorized

Jinsi Ya Kufanya Zoezi La Squat

Jinsi Ya Kutumia Tairi Katika Kujenga Mwili Wako
Kujenga Mwili

Jinsi Ya Kutumia Tairi Katika Kujenga Mwili Wako

Vyakula Bora Kwa Kutibu Shinikizo La Damu 
kupungua uzito

Vyakula Bora Kwa Kutibu Shinikizo La Damu 

Aina za Push-Ups—na Jinsi Zinavyokusaidia
BMI Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Aina za Push-Ups—na Jinsi Zinavyokusaidia

Aina za Push-Ups—na Jinsi Zinavyokusaidia. Pushup ni mojawapo ya mazoezi makubwa zaidi ya hali ya jumla kwa mwanariadha, na unaweza...
Read More
Kwanini Usimnyamazishe Mtu Akilia, Na Nini Faida Ya Kulia?
Uncategorized

Kwanini Usimnyamazishe Mtu Akilia, Na Nini Faida Ya Kulia?

Kwanini Usimnyamazishe Mtu Akilia, Na Nini Faida Ya Kulia? Kulia ni hisia za kuelezea vile mtu anavyojisikia. Ni hisia ambazo...
Read More
Lishe Bora Na Diet Ni nini?
BMI Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Lishe Bora Na Diet Ni nini?

Lishe bora ni nini? Lishe bora ni mjumuisho wa vyakula vya aina tofauti tofauti ambavyo huupa mwili wako virutubishi vinavyohitajika...
Read More
Aina za Protini za poda za Kujenga Misuli
BMI Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Aina za Protini za poda za Kujenga Misuli

Aina za Protini za poda za Kujenga Misuli Poda za protini zimekuwa na manufaa makubwa sana hasa kwa wanariadha ,washindani...
Read More
Kalori Tupu
kupungua uzito

Kalori Tupu

Kalori Tupu ni nini? Kalori tupu ni zile zinazotoa nishati lakini thamani yake ya lishe au virutubishi ni vya kiwango...
Read More
Athari za matumizi ya pombe kiafya
BMI Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Athari za matumizi ya pombe kiafya

Athari za matumizi ya pombe kiafya. Madhara ya pombe hutofautiana kati ya mtu na mtu. Ingawa watu wengine wanaweza kupunguza...
Read More
Kwa nini Wanaume  Hupunguza Uzito haraka?
kupungua uzito Mazoezi

Kwa nini Wanaume  Hupunguza Uzito haraka?

Kwa nini Wanaume  Hupunguza Uzito haraka sana? Ingawa inaonekana kwamba wanaume huwa na kupoteza uzito haraka zaidi kuliko wanawake, hii...
Read More
Je,Usingizi Ni Muhimu Kiasi Gani Kwa Afya na Tunahitaji Kwa Kiasi Gani?
Chakula Kujenga Mwili

Je,Usingizi Ni Muhimu Kiasi Gani Kwa Afya na Tunahitaji Kwa Kiasi Gani?

Je,Usingizi Unaumuhimu gani Kwa Afya na Tunahitaji Kwa Kiasi gani? Utafiti wa kisayansi unaonyesha wazi kwamba usingizi ni muhimu katika...
Read More
Aina Za Vyakula Vinavyo Ongeza Uzito Haraka
Chakula Kujenga Mwili kupungua uzito

Aina Za Vyakula Vinavyo Ongeza Uzito Haraka

Aina Za Vyakula Vinavyo Ongeza Uzito Haraka Baadhi ya watu wengi hupata ugumu sana kuongeza uzito, sawa na wale wanao...
Read More
Je, Ni Nini Husababisha Uzito Kubadilika Mara Kwa Mara?
Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Je, Ni Nini Husababisha Uzito Kubadilika Mara Kwa Mara?

Je, Ni vitu gani vinasababisha uzito kubadilika mara kwa mara? Ni kitu cha kushangaza lakini ndo ukweli, mara nyingi kama...
Read More
Jinsi Ya Kufanya Zoezi La (Wheel pose) Na Umuhimu Wake.
Kujenga Mwili kupungua uzito

Jinsi Ya Kufanya Zoezi La (Wheel pose) Na Umuhimu Wake.

Jinsi ya kufanya zoezi la Wheel pose katika yoga  Je, Wheel poseni nini?  Wheel Pose ni mkao wa yoga ambaya...
Read More
Makosa 8 yanayo fanywa zaidi na mtu anae anza mazoezi ya GYM
Kujenga Mwili kupungua uzito

Makosa 8 yanayo fanywa zaidi na mtu anae anza mazoezi ya GYM

Makosa 8 yanayo fanywa zaidi na mtu anae anza mazoezi ya GYM Unapo anza safari yako ya kujenga misuli kwa...
Read More
Je? Gramu ngapi za Mafuta – Unapaswa Kula Kwa Siku?
Chakula

Je? Gramu ngapi za Mafuta – Unapaswa Kula Kwa Siku?

Je? Gramu ngapi za Mafuta - Unapaswa Kula Kwa Siku? Mafuta ni sehemu muhimu ya mlo wako, lakini kufikiri ni...
Read More
Fahamu mbinu za kukwepa vibaka
Kujikinga Uncategorized

Fahamu mbinu za kukwepa vibaka

Ukiwa kama mtembezi wa usiku unakua unajihatarisha kukutana na vibaka (siyo majambazi) lakini kuishi kwangu maeneo mbali mbali sijawahi kukabwa...
Read More
Je! Unapaswa Kula Kalori Ngapi Kwa Siku Ili Kupunguza Uzito?
Uncategorized

Je! Unapaswa Kula Kalori Ngapi Kwa Siku Ili Kupunguza Uzito?

https://youtu.be/RcxdLwC-reg Kalori ni nini?  Kwa ufupi, kalori ni kitengo kinachopima nishati. Kalori hutumiwa kupima maudhui ya nishati ya vyakula na...
Read More
Jinsi Ya Kufanya Mazoezi Ya Body Balance
Uncategorized

Jinsi Ya Kufanya Mazoezi Ya Body Balance

https://www.youtube.com/watch?v=iE8k-i0X9Xk&t=1s Jinsi Ya Kufanya Mazoezi Ya Body Balance Mazoezi ya Body balance yanasaidia sana katika msawaziko wa mwili na katika...
Read More
Aina (4) Za Mazoezi Ya Kuzuia Maumivu Ya Hedhi
Uncategorized

Aina (4) Za Mazoezi Ya Kuzuia Maumivu Ya Hedhi

https://www.youtube.com/watch?v=qQiuay9fzAQ&t=1s Aina (4) Za Mazoezi Ya Kuzuia Maumivu Ya Hedhi Maumivu ya hedhi ni tatizo kubwa kwa wanawake wengi, hivyo...
Read More
Jinsi Ya Kufanya Zoezi La Squat
Uncategorized

Jinsi Ya Kufanya Zoezi La Squat

https://www.youtube.com/watch?v=66VqjncGw0o Jinsi Ya Kufanya Zoezi La Squat Japo kuwa Squat ni zoezi zuri sana, lakini ukilikosea linaweza kukupa madhara badala...
Read More
Jinsi Ya Kutumia Tairi Katika Kujenga Mwili Wako
Kujenga Mwili

Jinsi Ya Kutumia Tairi Katika Kujenga Mwili Wako

https://www.youtube.com/watch?v=BoHY7B4M_EE Jinsi Ya Kutumia Tairi Katika Kujenga Mwili Wako Tairi ni moja ya nyenzo muhimu sana itakayo kusaidia katika mazoezi...
Read More
Vyakula Bora Kwa Kutibu Shinikizo La Damu 
kupungua uzito

Vyakula Bora Kwa Kutibu Shinikizo La Damu 

https://www.youtube.com/watch?v=QDu-HMqozgA&t=1s Kubadilisha lishe kunaweza kupunguza kwa kiasi kikubwa shinikizo la damu. Utafiti umeonyesha kuwa vyakula fulani vinaweza kupunguza shinikizo la...
Read More
Load More