Mazoezi ya Body balance yanasaidia sana katika msawaziko wa mwili na katika kutuliza akili zako,Hapa tutaona aina mabalimbali za mazoezi ya kubalance mwili, Unaweza ukachagua zoezi litakalokuwa rahisi kwako kama vile. TAZAMA VIDEO UWEZE KUJIFUNZA
01.Zoezi la kusimama na mguu mmoja
Hili nizoezi zuri sana kwani linafanya msawazo wa ubongo,unapo fanya zoezi hili nyanyua mguu wako mmoja huku mwingine ukiwa umeukunja kaa ndani ya sekunde kumi halafu badilisha mguu mwingine, pia kama unapatashida kwenye kuukunja pia unaweza kuushikilia na mkono.
02.Zoezi la kuinama huku mguu mmoja umeusimamia na mwingine umenyoosha kwa ulalo
Kufanya zoezi hili kuna umuhimu mkubwa sana katika Afya ya ubongo kwani linasaidia kujenga uhusiano mzuri kati ya ubongo na viungo vingine vya mwili fanya zoezi hili ndani ya dakika 2 hadi 5 kwa miguu yote.
03.Kunyoosha mikono juu huku ukiwa umekunja mguu mmoja na kuusimamiaa mguu mmoja
Nyoosha mikono yako huku ukiwa umesimama kwa mgiuu mmmoja ndani ya sekunde ishirini hadi therathini fanya zoezi hili huku ukibadilisha miguu yako ndani ya muda fulani
04.Kuinua mguu mmoja katika urefu wa aina tofauti tofauti kuelekea kwa juu
Utainua katika level tofauti tofauti mbaka pale mguu wako na paja lako vitakapo tengeneza nyuzi tisini, baada ya hapo unatulia kidogo kwa sekunde 30 alafu shusha na kuinua mguu mwingine.
04.Drago
Hili ni zoezi amalo una lala kwa kupiga magoti alafu unainua mguu wako mmoja kwa kuunyoosha kiulalo ,na mkono wako mmoja unaunyoosha kiulalo kwa mbele .
:Kumbuka unapo nyoosha mguu wa kulia basi mkono uwe wa kushoto na unapo nyoosha mguu wa kushoto basi mkono uwe wa kulia
Fanya zoezi hili ndani ya dakika 2 hadi 5 huku ukiwa unabadilisha mikono na miguu yako.
05 Zoezi la V balance
Hili ni zoezi ambalo utashika vidole vyako vya miguuni na kuinyanyua miguu yako na ikae mfumo wa v kama inavyo onekana kwenye picha hapo juu.
Iweke miguu namna hiyo ndani ya sekunde shirini hadi thelathini. Baada ya hapo ikunje miguu huku ukiibana ila usiishushe chini, bana pia mikono yako inyooshe kuelekea uwelekeo wa mguu.
Kaa hivo ndani ya sekunde thelathini au zaidi
Zoezi hili litakusaidia kufanya misuli ya tumbo kukakamaa na kupnguza nyama uzembe tumboni
Baada ya hapo bana miguu na mikono huku ukiwa umejikunja lakini miguu usiishushe chini.
06.Zoezi la v balance huku ukipitisha mikono yako kwa chini
Kaa hivo ndani ya sekunde thelathini au zaidi kadri unavyo weza
07.Zoezi la Kubinua Mgongo
Asante endelea kufuatilia kurasa zetu na subscribe Channel Yetu Ya Youtube tiztu kwa habari na video zote zinazohusu Afya ,chakula na mazoezi.
https://youtu.be/RcxdLwC-reg Kalori ni nini? Kwa ufupi, kalori ni kitengo kinachopima nishati. Kalori hutumiwa kupima maudhui ya nishati ya vyakula na...
https://www.youtube.com/watch?v=iE8k-i0X9Xk&t=1s Jinsi Ya Kufanya Mazoezi Ya Body Balance Mazoezi ya Body balance yanasaidia sana katika msawaziko wa mwili na katika...
https://www.youtube.com/watch?v=qQiuay9fzAQ&t=1s Aina (4) Za Mazoezi Ya Kuzuia Maumivu Ya Hedhi Maumivu ya hedhi ni tatizo kubwa kwa wanawake wengi, hivyo...
https://www.youtube.com/watch?v=66VqjncGw0o Jinsi Ya Kufanya Zoezi La Squat Japo kuwa Squat ni zoezi zuri sana, lakini ukilikosea linaweza kukupa madhara badala...
https://www.youtube.com/watch?v=BoHY7B4M_EE Jinsi Ya Kutumia Tairi Katika Kujenga Mwili Wako Tairi ni moja ya nyenzo muhimu sana itakayo kusaidia katika mazoezi...
https://www.youtube.com/watch?v=QDu-HMqozgA&t=1s Kubadilisha lishe kunaweza kupunguza kwa kiasi kikubwa shinikizo la damu. Utafiti umeonyesha kuwa vyakula fulani vinaweza kupunguza shinikizo la...