Kazi Na Faida Za Protein Powder
.Huwezesha ukuaji na maendeleo ya mwili
.Hufanya kazi zinazoratibiwa na taarifa kutoka kwenye vinasaba (genes)
.Huunda vimenyenyo (enzymes) zinazomeng’enya chakula
.Huhusika kwenye mawasiliano ya seli
Umuhimu Wa Protein
Protein ni kirutubisho muhimu sana katika maisha yetu. Kazi za mwili kama vile utendaji kazi wa mwili (metabolism),ukuaji wa mifupa,utengenezwaji wa viungo,kufanywa upya kwa tishu za mwili na uongezwaji wa nishati,haziwezi kufanyika bila kuwepo kwa protein. Ukuaji na maendeleo ya mwili,kupona kwa tishu zilizojeruhiwa,utendaji kazi wa mwili (metabolism),utengenezwaji wa vimeng’enyo (enzymes),mfumo wa kinga ya mwili,kuimarishwa mwili na kupunguza kuzeeka haraka na kuongeza siku,yote hayawezi kufanyika bila protein.
Upungufu Wa Protein
Upungufu wa protein katika mwili wa binadamu husababisha mwili kushindwa kufanya kazi zake vizuri,kuanza kupoteza kumbukumbu na mengineyo kama kupoteza ubora wa ngozi,misuli kuwa dhaifu, na inaweza kusababisha magonjwa mengine pia.
Tunahitaji Protein Kiasi Gani?
Mahitaji yetu ya protein huendana na umri,ukubwa wa mwili na kazi unazofanya. Njia bora ambayo hutumiw ana watalaam wa lishe kuweza kukadria kiwango cha chini cha protein unachohitaji kwa siku,ni kuzidisha uzito wa mwili katika kilogram kwa 0.8 au uzito wa mwili katika pounds kwa 0.37. Hiki ndich okiwango cha chini katika gram cha protein anayopaswa mtu kupata kwa siku. Kwa mfano mtu mwenye uzito wa kilo 60 anapaswa kula gram 28 za protein kwa siku.
Tahadhali:
Watu walio na matatizo makubwa ya ini na figo wanapaswa kuzuia matumizi ya protein. Kwa hiyo bidhaa hii haishauriwi kutumiwa na mtu mwenye matatizo ya ini au kushindwa kwa fugo (kidney failure)
Aina za Push-Ups—na Jinsi Zinavyokusaidia
Kwanini Usimnyamazishe Mtu Akilia, Na Nini Faida Ya Kulia?
Lishe Bora Na Diet Ni nini?
Aina za Protini za poda za Kujenga Misuli
Kalori Tupu
Athari za matumizi ya pombe kiafya
Kwa nini Wanaume Hupunguza Uzito haraka?
Je,Usingizi Ni Muhimu Kiasi Gani Kwa Afya na Tunahitaji Kwa Kiasi Gani?
Aina Za Vyakula Vinavyo Ongeza Uzito Haraka
Je, Ni Nini Husababisha Uzito Kubadilika Mara Kwa Mara?
Jinsi Ya Kufanya Zoezi La (Wheel pose) Na Umuhimu Wake.
Makosa 8 yanayo fanywa zaidi na mtu anae anza mazoezi ya GYM
Je? Gramu ngapi za Mafuta – Unapaswa Kula Kwa Siku?
Fahamu mbinu za kukwepa vibaka
Je! Unapaswa Kula Kalori Ngapi Kwa Siku Ili Kupunguza Uzito?
Jinsi Ya Kufanya Mazoezi Ya Body Balance
Aina (4) Za Mazoezi Ya Kuzuia Maumivu Ya Hedhi
Jinsi Ya Kufanya Zoezi La Squat
Jinsi Ya Kutumia Tairi Katika Kujenga Mwili Wako
Vyakula Bora Kwa Kutibu Shinikizo La Damu
