Makosa 8 yanayo fanywa zaidi na mtu anae anza mazoezi ya GYM

Makosa 8 yanayo fanywa zaidi na mtu anae anza mazoezi ya GYM

Unapo anza safari yako ya kujenga misuli kwa hususani kwa kufanya mazoezi ya gym epuka makosa haya kwa gharama yeyote.

Ingawa ujenzi wa mwili(bodybuilding) sio swala gumu kama sayansi ya roketi au upasuaji wa ubongo, lakini mchakato wakujenga misuli, kupata nguvu, na kupoteza mafuta, unahitaji maarifa mengi, ujuzi, pamoja na bidii. Ni muhimu kwamba wanaoanza wawe na taarifa sahihi tangu mwanzo ili safari yao ya mazoezi ili wapate matokeo mazuti, bila majeraha, mateso, maumivu, au kupoteza muda mwingi kupita kiasi. Ingawa programu yako itabadilika kadiri wakati unavyosonga, kujifunza kanunu muhimu tangu mwanzoni na kuwa na maarifa kutakujengea msingi imara katika safari yako ya kujenga mwili wako.

Yafuatayo ni makosa makuu ya kuepuka unapoanza kufanya mazoezi haya gym. 

1. Kufuata Ratiba za Wazoefu

Ingawa hakuna ubaya kuchukua jarida lako unalopenda la kujenga mwili au kutembelea tovuti ili kujifunza jinsi wengine wanavyo fanya mazoezi yao, lakini ni makosa kujaribu na kunakili wanachokifanya. Kwa sababu wewe bado mchanga(biginner) na wao ni wazoefu(advanced) na wataalamu wengi wamekuwa wakifanya mazoezi kwa mda mrefu wa hadi miaka 5-25 hadi kufikia hapo.

Pili, mazoezi na mpangilio wa mazoezi ya wazoefu wa mazoezi unayoona wanafanya kwa sasa sio waliyokuwa wanafanya kipindi waaanza kujifunza mazoezi, hivyo usifuate mpangilio wao wa mazoezi wala aina ya mazoezi wanayofanya. Na tatu, ni muhimu kuelewa kwamba wanamazoezi wazoefu wakati mwingine wanatumia waataalamu wa chakula, na mazoezi kuwasaidia kujenga maumbile yao.

2.Kutopasha na Kutopoza mwili mwili kabla na baada ya mazoezi

Wengi wanaoanza mazoezi huzani kupasha mwili sio kitu cha muhumu na huzani kupoza mwili haina maana yoyote. Lakini mazoezi haya ya kupasha na kupooza mwili ni muhimu sana kabala na baada ya kumaliza mazoezi, mazoezi ya kupasha yanasaidia kuandaa misuli kwa ajili ya mazoezi mazito na kuzui misuli isiumie wakati wa mazoezi na hata hapo baadae. mazoezi ya kupoza mwili pia yanasaidia kushusha mapigo ya moyo wako na kunyoosha misuli yako baada ya mazoezi makali.

3.Kutoanza na mazoezi ya kawaida

Watu wengi ambao hutaka kujenga miili yao hufanya kusa kubwa kwa kutoanza na mazoezi ya kawaida na kukimbila mazoezi ya kwenye mashine kubwa. Ni vema kuanza na mazoezi ya kawaida kama yasiyohitaji kunyanyua vitu vizito sana wala mashine kama vile Squat, press up, push up, deadlifts, rows, military presses, bench presses, incline presses, dips, pullups, na BB curls. Mazoezi haya yatakujengea msingi bora wa misuli kwenye mwili wako na kufanya uweze kujenga mwili wako vizuri bila kuumia.

4. Kunyanyua vitu vizito mapema

Ninaelewa kuwa kama anayeanza unanaweza kutishwa kidogo ukiwa gym kwa kuwaona vijana wakisukuma/kuvuta na kunyanyua vitu vizito kwa urahisi sana. Pia ninaelewa ile hali ya kuona aibu au kuhisi wengine watakuonaje kwa kunyanya viuzito vidogo…..?

Hali hii ya kujihisi aibu na kutaka kujilinganisha huwafanya watu wengi wanaoanza mazoezi kunyanyua vitu vizito ili wajonyeshe na kujihisi vizuri. Kufanya hivi sio tu kutakupoteza muda wako, lakini pia kunaweza kusababisha kuumia na kutopata matokeo mazuri. Na, kwa kweli, wanyanyua vyuma wazoefu wanaweza kuwa wanakuangalia na kukushangaa jinsi unavyonyaua uzito mdogo, lakini jiamini na simamia maono yako usifuate wala kutishwa na watu wa gym. 

5.Kufanya Mazoezi Hadi kupitiliza

Najua kuna wale ambao wanadhani “hakuna kitu kama kufanya mazoezi kupita kiasi,” lakini sio sahihi. Kufanya mazoezi kupita kiasi ni jambo lisilo zuri kwa afya yako, Kwa sababu ya shauku ya kutaka matokeo ya haraka na kukosa subira, kumewafaya wanaoanza mazoezi kufanya mazoezi kupita kiasai wakiamini kwamba kadiri wanavyotumia muda mwingi kwenye gym, ndivyo watakavyopata misuli zaidi na matokeo mazuri .

Hata hivyo, hatujenge misuli tunapofanya mazoezi, tunafanya hivyo tunapopumzika na kupata nafuu. Wanyanya vyuma wengi wanapata matokeo mazuri kwa kufanya mazoezi mara 3-4 kwa wiki na hawapaswi kamwe kufanya mazoezi ya kunyanua vyuma zaidi ya siku mbili mfululizo. 

5.kufanya mazoezi ya kifua kila siku

Mwanaume kuwa na kifua kikubwa inapendeza sana, na wengi wanaoanza mazoezi ya kujenga mwili huwazia kuwa na kifua kikubwa. Kwa wewe unayaenza mazoezi usiingie kwenye huu mtego wa kutengeneza kifua tu, mwili unahitaji kujengeka wote, usisahau, miguu, mapaja, kiuno, na visigino. Ni muhimu kufanya mazoezi ya miguu kama vile squat, deadflif etc. Hakikisha mwili wako wote umeufanyisha mazoezi na vilevile usisahau kufanya mazoezi ya kunyoosha viungo vyako.

6.kuto chagua mtu sahihi wa kufanya nae mazoezi pamoja 

Kama ilivyotajwa awali, wanaoanza wengi huchagua kufanya mazoezi na rafiki ili kila mmoja amuunge mkono mwenzake. Ni vizuri hakuna chochote kibaya na katika hii, ila hakikisha mtu unayemchagua ana malengo sawa na wewe au anaelewa malengo yako. Ukifanya makosa ya kuchagua mtu ambaye hayuko serious, amabaye siku nyingine haji, mara anachelewa, au asiyezingatia maelekezo wakati unahitaji mdaasa ni bora ukaachana na watu na namna hiyo na kufanya mazoezi mwenyewe.

Kutokuwa na Subira 

Ukosefu wa uvumilivu kwa wanaoanza, unaweza kusababisha wengi kuacha kabla ya matokeo yoyote ya maana kupatikana. Ukiamua kuingia kwenye gym kwa sababu unataka kubadilisha mwonekano wako, hakikisha unaelewa kuwa ni mchakato wa mda na inahitaji uvumilivu. Fanya mazoezi-kuwa na subira-kuwa na imani, na siku moja utajitazama kwenye kioo na kutabasamu kwa umbali ulifikia.

TAZAMA VIDEO KUJIFUNZA ZAIDI

Asante endelea kufuatilia kurasa zetu na subscribe Channel Yetu Ya Youtube tiztu kwa habari na video zote zinazohusu Afya ,chakula na mazoezi.

Jiunge Na Programu za mazoezi na chakula hapa

Aina za Push-Ups—na Jinsi Zinavyokusaidia
BMI Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Aina za Push-Ups—na Jinsi Zinavyokusaidia

Kwanini Usimnyamazishe Mtu Akilia, Na Nini Faida Ya Kulia?
Uncategorized

Kwanini Usimnyamazishe Mtu Akilia, Na Nini Faida Ya Kulia?

Lishe Bora Na Diet Ni nini?
BMI Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Lishe Bora Na Diet Ni nini?

Aina za Protini za poda za Kujenga Misuli
BMI Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Aina za Protini za poda za Kujenga Misuli

Kalori Tupu
kupungua uzito

Kalori Tupu

Athari za matumizi ya pombe kiafya
BMI Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Athari za matumizi ya pombe kiafya

Kwa nini Wanaume  Hupunguza Uzito haraka?
kupungua uzito Mazoezi

Kwa nini Wanaume  Hupunguza Uzito haraka?

Je,Usingizi Ni Muhimu Kiasi Gani Kwa Afya na Tunahitaji Kwa Kiasi Gani?
Chakula Kujenga Mwili

Je,Usingizi Ni Muhimu Kiasi Gani Kwa Afya na Tunahitaji Kwa Kiasi Gani?

Aina Za Vyakula Vinavyo Ongeza Uzito Haraka
Chakula Kujenga Mwili kupungua uzito

Aina Za Vyakula Vinavyo Ongeza Uzito Haraka

Je, Ni Nini Husababisha Uzito Kubadilika Mara Kwa Mara?
Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Je, Ni Nini Husababisha Uzito Kubadilika Mara Kwa Mara?

Jinsi Ya Kufanya Zoezi La (Wheel pose) Na Umuhimu Wake.
Kujenga Mwili kupungua uzito

Jinsi Ya Kufanya Zoezi La (Wheel pose) Na Umuhimu Wake.

Makosa 8 yanayo fanywa zaidi na mtu anae anza mazoezi ya GYM
Kujenga Mwili kupungua uzito

Makosa 8 yanayo fanywa zaidi na mtu anae anza mazoezi ya GYM

Je? Gramu ngapi za Mafuta – Unapaswa Kula Kwa Siku?
Chakula

Je? Gramu ngapi za Mafuta – Unapaswa Kula Kwa Siku?

Fahamu mbinu za kukwepa vibaka
Kujikinga Uncategorized

Fahamu mbinu za kukwepa vibaka

Je! Unapaswa Kula Kalori Ngapi Kwa Siku Ili Kupunguza Uzito?
Uncategorized

Je! Unapaswa Kula Kalori Ngapi Kwa Siku Ili Kupunguza Uzito?

Jinsi Ya Kufanya Mazoezi Ya Body Balance
Uncategorized

Jinsi Ya Kufanya Mazoezi Ya Body Balance

Aina (4) Za Mazoezi Ya Kuzuia Maumivu Ya Hedhi
Uncategorized

Aina (4) Za Mazoezi Ya Kuzuia Maumivu Ya Hedhi

Jinsi Ya Kufanya Zoezi La Squat
Uncategorized

Jinsi Ya Kufanya Zoezi La Squat

Jinsi Ya Kutumia Tairi Katika Kujenga Mwili Wako
Kujenga Mwili

Jinsi Ya Kutumia Tairi Katika Kujenga Mwili Wako

Vyakula Bora Kwa Kutibu Shinikizo La Damu 
kupungua uzito

Vyakula Bora Kwa Kutibu Shinikizo La Damu 

Aina za Push-Ups—na Jinsi Zinavyokusaidia
BMI Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Aina za Push-Ups—na Jinsi Zinavyokusaidia

Aina za Push-Ups—na Jinsi Zinavyokusaidia. Pushup ni mojawapo ya mazoezi makubwa zaidi ya hali ya jumla kwa mwanariadha, na unaweza...
Read More
Kwanini Usimnyamazishe Mtu Akilia, Na Nini Faida Ya Kulia?
Uncategorized

Kwanini Usimnyamazishe Mtu Akilia, Na Nini Faida Ya Kulia?

Kwanini Usimnyamazishe Mtu Akilia, Na Nini Faida Ya Kulia? Kulia ni hisia za kuelezea vile mtu anavyojisikia. Ni hisia ambazo...
Read More
Lishe Bora Na Diet Ni nini?
BMI Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Lishe Bora Na Diet Ni nini?

Lishe bora ni nini? Lishe bora ni mjumuisho wa vyakula vya aina tofauti tofauti ambavyo huupa mwili wako virutubishi vinavyohitajika...
Read More
Aina za Protini za poda za Kujenga Misuli
BMI Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Aina za Protini za poda za Kujenga Misuli

Aina za Protini za poda za Kujenga Misuli Poda za protini zimekuwa na manufaa makubwa sana hasa kwa wanariadha ,washindani...
Read More
Kalori Tupu
kupungua uzito

Kalori Tupu

Kalori Tupu ni nini? Kalori tupu ni zile zinazotoa nishati lakini thamani yake ya lishe au virutubishi ni vya kiwango...
Read More
Athari za matumizi ya pombe kiafya
BMI Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Athari za matumizi ya pombe kiafya

Athari za matumizi ya pombe kiafya. Madhara ya pombe hutofautiana kati ya mtu na mtu. Ingawa watu wengine wanaweza kupunguza...
Read More
Kwa nini Wanaume  Hupunguza Uzito haraka?
kupungua uzito Mazoezi

Kwa nini Wanaume  Hupunguza Uzito haraka?

Kwa nini Wanaume  Hupunguza Uzito haraka sana? Ingawa inaonekana kwamba wanaume huwa na kupoteza uzito haraka zaidi kuliko wanawake, hii...
Read More
Je,Usingizi Ni Muhimu Kiasi Gani Kwa Afya na Tunahitaji Kwa Kiasi Gani?
Chakula Kujenga Mwili

Je,Usingizi Ni Muhimu Kiasi Gani Kwa Afya na Tunahitaji Kwa Kiasi Gani?

Je,Usingizi Unaumuhimu gani Kwa Afya na Tunahitaji Kwa Kiasi gani? Utafiti wa kisayansi unaonyesha wazi kwamba usingizi ni muhimu katika...
Read More
Aina Za Vyakula Vinavyo Ongeza Uzito Haraka
Chakula Kujenga Mwili kupungua uzito

Aina Za Vyakula Vinavyo Ongeza Uzito Haraka

Aina Za Vyakula Vinavyo Ongeza Uzito Haraka Baadhi ya watu wengi hupata ugumu sana kuongeza uzito, sawa na wale wanao...
Read More
Je, Ni Nini Husababisha Uzito Kubadilika Mara Kwa Mara?
Chakula Kujenga Mwili Kujikinga kupungua uzito

Je, Ni Nini Husababisha Uzito Kubadilika Mara Kwa Mara?

Je, Ni vitu gani vinasababisha uzito kubadilika mara kwa mara? Ni kitu cha kushangaza lakini ndo ukweli, mara nyingi kama...
Read More
Jinsi Ya Kufanya Zoezi La (Wheel pose) Na Umuhimu Wake.
Kujenga Mwili kupungua uzito

Jinsi Ya Kufanya Zoezi La (Wheel pose) Na Umuhimu Wake.

Jinsi ya kufanya zoezi la Wheel pose katika yoga  Je, Wheel poseni nini?  Wheel Pose ni mkao wa yoga ambaya...
Read More
Makosa 8 yanayo fanywa zaidi na mtu anae anza mazoezi ya GYM
Kujenga Mwili kupungua uzito

Makosa 8 yanayo fanywa zaidi na mtu anae anza mazoezi ya GYM

Makosa 8 yanayo fanywa zaidi na mtu anae anza mazoezi ya GYM Unapo anza safari yako ya kujenga misuli kwa...
Read More
Je? Gramu ngapi za Mafuta – Unapaswa Kula Kwa Siku?
Chakula

Je? Gramu ngapi za Mafuta – Unapaswa Kula Kwa Siku?

Je? Gramu ngapi za Mafuta - Unapaswa Kula Kwa Siku? Mafuta ni sehemu muhimu ya mlo wako, lakini kufikiri ni...
Read More
Fahamu mbinu za kukwepa vibaka
Kujikinga Uncategorized

Fahamu mbinu za kukwepa vibaka

Ukiwa kama mtembezi wa usiku unakua unajihatarisha kukutana na vibaka (siyo majambazi) lakini kuishi kwangu maeneo mbali mbali sijawahi kukabwa...
Read More
Je! Unapaswa Kula Kalori Ngapi Kwa Siku Ili Kupunguza Uzito?
Uncategorized

Je! Unapaswa Kula Kalori Ngapi Kwa Siku Ili Kupunguza Uzito?

https://youtu.be/RcxdLwC-reg Kalori ni nini?  Kwa ufupi, kalori ni kitengo kinachopima nishati. Kalori hutumiwa kupima maudhui ya nishati ya vyakula na...
Read More
Jinsi Ya Kufanya Mazoezi Ya Body Balance
Uncategorized

Jinsi Ya Kufanya Mazoezi Ya Body Balance

https://www.youtube.com/watch?v=iE8k-i0X9Xk&t=1s Jinsi Ya Kufanya Mazoezi Ya Body Balance Mazoezi ya Body balance yanasaidia sana katika msawaziko wa mwili na katika...
Read More
Aina (4) Za Mazoezi Ya Kuzuia Maumivu Ya Hedhi
Uncategorized

Aina (4) Za Mazoezi Ya Kuzuia Maumivu Ya Hedhi

https://www.youtube.com/watch?v=qQiuay9fzAQ&t=1s Aina (4) Za Mazoezi Ya Kuzuia Maumivu Ya Hedhi Maumivu ya hedhi ni tatizo kubwa kwa wanawake wengi, hivyo...
Read More
Jinsi Ya Kufanya Zoezi La Squat
Uncategorized

Jinsi Ya Kufanya Zoezi La Squat

https://www.youtube.com/watch?v=66VqjncGw0o Jinsi Ya Kufanya Zoezi La Squat Japo kuwa Squat ni zoezi zuri sana, lakini ukilikosea linaweza kukupa madhara badala...
Read More
Jinsi Ya Kutumia Tairi Katika Kujenga Mwili Wako
Kujenga Mwili

Jinsi Ya Kutumia Tairi Katika Kujenga Mwili Wako

https://www.youtube.com/watch?v=BoHY7B4M_EE Jinsi Ya Kutumia Tairi Katika Kujenga Mwili Wako Tairi ni moja ya nyenzo muhimu sana itakayo kusaidia katika mazoezi...
Read More
Vyakula Bora Kwa Kutibu Shinikizo La Damu 
kupungua uzito

Vyakula Bora Kwa Kutibu Shinikizo La Damu 

https://www.youtube.com/watch?v=QDu-HMqozgA&t=1s Kubadilisha lishe kunaweza kupunguza kwa kiasi kikubwa shinikizo la damu. Utafiti umeonyesha kuwa vyakula fulani vinaweza kupunguza shinikizo la...
Read More
Load More