Faida Ya Poda Katika Kujenga Mwili
Mwili wa binadamu unatengenezwa na aina mbali mbali za vyakula ikiwemo protein protein zipo za aina mbili kuna zile za asili ambazo tunazipata kupitia kula vyakula na zilizo tengenezwa na kuwa mfumo wa poda. lengo la protein hizi ni kukusaidia kujenga mwili wako kiuharaka zaidi tofauti na kuanza kutumia chakula ambacho chakula hicho unacho kula mpaka kikafikie kiwango cha protein kinachohitajika kwenye mwili wako utatumia mda mrefu sana. Protein za poda zinatumika sana kwa watu wanao fanya mazoezi, watu wanao taka kujenga mwili. Jinsi ya kutumia Protein hizi za poda unaweza kutumia kwa aina mbalimbali,kama vile kuchanganya kwenye chakula matunda nakadhalika,kwahiyo hapa tutaona faida za poda hizi katika mwili wako. Kwanza katika kutaka kuanza kutumia aina hizi za poda inabidi ujue lengo kuu la kutaka kutumia aina hizi za poda kama vile je unataka kupungua, Kuongeza mwili au kuwa katika hali ya kawida?Aina za protain ya poda
1.Standard gold
Hii ni aina ya protein ambayo inamsaidia mtu anaye fanya mazoezi kukuza misuli yake pale mtu anapo pata maumivu ya misuli wakati anapo fanya mazoezi,protein hizi husaidia kurudisha na kurekebisha maeneo yote ya misuli yenye maumivu haya(body recovery) kwa hiyo kwa mtu ambaye hafanyi mazoezi hata akitumia poda hizi hawezi kupata matokeo. ‘ zipo aina kaadhaa za protein hii -Pre workout Ni protein ambazo unatumia kabla ya mazoezi -After workout Ni protein ambazo unatumia baada ya mazoezi2.malsotake
Hii ni protein inasidia sana katika kuimarisha misuli yako, aina ya malsotake -Cretain Hii ni aina ya protein ambayo inakupa nguvu ya kufanya mazoezi kwahiyo hauwezi ukachoka mapema3.MK-677 (Ibutamoren)
poda hii husaidia kujenga misuli, Poda ya Ibutamoren hutumiwa mara nyingi kama dutu anaboliki, ili kuongeza kujenga misuli kubwa, inaweza kuchukuliwa mara moja kwa siku. Hizi ina faida zote ikilinganishwa na stimulators nyingine za ukuaji wa homoni. Kama ilivyoelezwa hapo awali, poda ya Ibutamoren huongeza ngazi za homoni za ukuaji na IGF-1. Homoni zote za ukuaji na IGF-1, kwa upande mwingine, huongeza misuli ya misuli, nguvu za misuli, na kupunguza mafuta ya mwili. Katika watu wenye afya bora, matibabu ya miezi miwili na poda ya Ibutamoren iliongezeka kwa kiwango kikubwa, na kwa muda mfupi iliongeza kiwango cha metabolic (BMR).4. Poda ya MK-677 (poda ya Ibutamoren)
Poda ya Ibutamoren mara nyingi kujenga misuli mali. Inapatikana juu ya kukabiliana na kutumika na wale wanaotaka kuongeza viwango vya homoni zao za kukua.Tahadhari
Supplement za protein zinaweza kuwadhuru watu wenye matatizo ya moyo, ina na figo. Ni muhimu kufanya vipimo vya afya yako na kupata ushauri wa Dakitari kabla hujaanza kutumia hizi supplementary Asante endelea kufuatilia kurasa zetu na subscribe Channel Yetu Ya Youtube tiztu kwa habari na video zote zinazohusu Afya ,chakula na mazoezi.Jiunge Na Programu za mazoezi na chakula hapa
Aina za Push-Ups—na Jinsi Zinavyokusaidia
Aina za Push-Ups—na Jinsi Zinavyokusaidia. Pushup ni mojawapo ya mazoezi makubwa zaidi ya hali ya jumla kwa mwanariadha, na unaweza...
Read More
Kwanini Usimnyamazishe Mtu Akilia, Na Nini Faida Ya Kulia?
Kwanini Usimnyamazishe Mtu Akilia, Na Nini Faida Ya Kulia? Kulia ni hisia za kuelezea vile mtu anavyojisikia. Ni hisia ambazo...
Read More
Lishe Bora Na Diet Ni nini?
Lishe bora ni nini? Lishe bora ni mjumuisho wa vyakula vya aina tofauti tofauti ambavyo huupa mwili wako virutubishi vinavyohitajika...
Read More
Aina za Protini za poda za Kujenga Misuli
Aina za Protini za poda za Kujenga Misuli Poda za protini zimekuwa na manufaa makubwa sana hasa kwa wanariadha ,washindani...
Read More
Kalori Tupu
Kalori Tupu ni nini? Kalori tupu ni zile zinazotoa nishati lakini thamani yake ya lishe au virutubishi ni vya kiwango...
Read More
Athari za matumizi ya pombe kiafya
Athari za matumizi ya pombe kiafya. Madhara ya pombe hutofautiana kati ya mtu na mtu. Ingawa watu wengine wanaweza kupunguza...
Read More
Kwa nini Wanaume Hupunguza Uzito haraka?
Kwa nini Wanaume Hupunguza Uzito haraka sana? Ingawa inaonekana kwamba wanaume huwa na kupoteza uzito haraka zaidi kuliko wanawake, hii...
Read More
Je,Usingizi Ni Muhimu Kiasi Gani Kwa Afya na Tunahitaji Kwa Kiasi Gani?
Je,Usingizi Unaumuhimu gani Kwa Afya na Tunahitaji Kwa Kiasi gani? Utafiti wa kisayansi unaonyesha wazi kwamba usingizi ni muhimu katika...
Read More
Aina Za Vyakula Vinavyo Ongeza Uzito Haraka
Aina Za Vyakula Vinavyo Ongeza Uzito Haraka Baadhi ya watu wengi hupata ugumu sana kuongeza uzito, sawa na wale wanao...
Read More
Je, Ni Nini Husababisha Uzito Kubadilika Mara Kwa Mara?
Je, Ni vitu gani vinasababisha uzito kubadilika mara kwa mara? Ni kitu cha kushangaza lakini ndo ukweli, mara nyingi kama...
Read More
Jinsi Ya Kufanya Zoezi La (Wheel pose) Na Umuhimu Wake.
Jinsi ya kufanya zoezi la Wheel pose katika yoga Je, Wheel poseni nini? Wheel Pose ni mkao wa yoga ambaya...
Read More
Makosa 8 yanayo fanywa zaidi na mtu anae anza mazoezi ya GYM
Makosa 8 yanayo fanywa zaidi na mtu anae anza mazoezi ya GYM Unapo anza safari yako ya kujenga misuli kwa...
Read More
Je? Gramu ngapi za Mafuta – Unapaswa Kula Kwa Siku?
Je? Gramu ngapi za Mafuta - Unapaswa Kula Kwa Siku? Mafuta ni sehemu muhimu ya mlo wako, lakini kufikiri ni...
Read More
Fahamu mbinu za kukwepa vibaka
Ukiwa kama mtembezi wa usiku unakua unajihatarisha kukutana na vibaka (siyo majambazi) lakini kuishi kwangu maeneo mbali mbali sijawahi kukabwa...
Read More
Je! Unapaswa Kula Kalori Ngapi Kwa Siku Ili Kupunguza Uzito?
https://youtu.be/RcxdLwC-reg Kalori ni nini? Kwa ufupi, kalori ni kitengo kinachopima nishati. Kalori hutumiwa kupima maudhui ya nishati ya vyakula na...
Read More
Jinsi Ya Kufanya Mazoezi Ya Body Balance
https://www.youtube.com/watch?v=iE8k-i0X9Xk&t=1s Jinsi Ya Kufanya Mazoezi Ya Body Balance Mazoezi ya Body balance yanasaidia sana katika msawaziko wa mwili na katika...
Read More
Aina (4) Za Mazoezi Ya Kuzuia Maumivu Ya Hedhi
https://www.youtube.com/watch?v=qQiuay9fzAQ&t=1s Aina (4) Za Mazoezi Ya Kuzuia Maumivu Ya Hedhi Maumivu ya hedhi ni tatizo kubwa kwa wanawake wengi, hivyo...
Read More
Jinsi Ya Kufanya Zoezi La Squat
https://www.youtube.com/watch?v=66VqjncGw0o Jinsi Ya Kufanya Zoezi La Squat Japo kuwa Squat ni zoezi zuri sana, lakini ukilikosea linaweza kukupa madhara badala...
Read More
Jinsi Ya Kutumia Tairi Katika Kujenga Mwili Wako
https://www.youtube.com/watch?v=BoHY7B4M_EE Jinsi Ya Kutumia Tairi Katika Kujenga Mwili Wako Tairi ni moja ya nyenzo muhimu sana itakayo kusaidia katika mazoezi...
Read More
Vyakula Bora Kwa Kutibu Shinikizo La Damu
https://www.youtube.com/watch?v=QDu-HMqozgA&t=1s Kubadilisha lishe kunaweza kupunguza kwa kiasi kikubwa shinikizo la damu. Utafiti umeonyesha kuwa vyakula fulani vinaweza kupunguza shinikizo la...
Read More
Load More
